msomali - siamini lyrics
siamini + msomali
eti mama ningependa uwe w+ngu wa maisha
ila ghafla umezira umeondoka
ningependa uwe w+ngu wa maisha
ila ghafla umezira umeondoka
ina maana unitaki tena (unitaki tena)
unipendi tena (unipendi tena)
ina maana unitaki tena (unitaki tena)
unipendi tena (unipendi tena)
hivi kweli siamini ni mimi
ameniacha nipo jangwani
hivi kweli siamini mwezenu mimi
kwenye mapenzi nimekosa nini
kama ungekuwa hutaki ungesema
umenipa ukilema
kama ungekuwa hutaki ungesema (ungesema)
umenipa ukilеma (umenipa ukilema)
mwenzako nachеchemea sina pakuegama
na mengi umeniongopea (umeniongopea)
mwenzako nachechemea sina pakuegama
zuwena umeniongopea (umeniongopea)
ina maana unitaki tena (unitaki tena)
unipendi tena (unipendi tena)
ina maana unitaki tena (unitaki tena)
unipendi tena (unipendi tena)
mi sitaki hata kusikia, mapenzi gharama weeh
sisikii la kuambiwa, mapenzi gharama weeh
mi sitaki hata kusikia, mapenzi gharama weeh
kaa chini nitakuadithia, mapenzi gharama weeh
nikizipata mitungi nitamwagilia moyo
nikizipata mitungi nitamwagilia moyo
eti mama
nikizipata mitungi nitamwagilia moyo
mimi mwezenu
nikizipata mitungi nitamwagilia moyo
msomali hapa
Random Lyrics
- blood red angel - ceremony of the condemned lyrics
- pointdream - временно-вечный (temporarily-an eternal man) lyrics
- mariah eskoh - cause we are lyrics
- stereo wall - jaga hati ini lyrics
- softt x baby morocco - portarnos mal lyrics
- odie leigh - a good thing lyrics
- wiu - rainha da finesse lyrics
- hyukoh - young man lyrics
- deathpixie - hell girl lyrics
- alberto nepomuceno - canção lyrics