azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

mkubwa na wanawe – nikupeti peti lyrics

Loading...

ayayayaya… mbwa na wanae na wanae×2
macho yananiumiza roho
silali nisipokuona mi naumia roho
kwenye mapenzi hamnanga commando
kunakuvua mbali mnaisizishow
nibusu nikubusu nikupeti peti chumbani
kukuacha sithubutu
we w-ngu walali mwandani×2
kwenye joto nibebe
ukichoka jilaze kifuani
vumilia my baby
tupatacho kidogo afueni×2
mi uniue
maaba niue×2
woyoyoyo… iki si kipimo cha mpigo
acha mwenzenu nicheke bali ninashindo
wanavyo kupiga majungu
mwenzenu natetemeka
naogopa wachina wazungu×2
naogopewa na bata wakatuchukua
kama pesa tutapata
my baby vumilia×2
end



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...