mkubwa na wanawe – nikupeti peti lyrics
Loading...
ayayayaya… mbwa na wanae na wanae×2
macho yananiumiza roho
silali nisipokuona mi naumia roho
kwenye mapenzi hamnanga commando
kunakuvua mbali mnaisizishow
nibusu nikubusu nikupeti peti chumbani
kukuacha sithubutu
we w-ngu walali mwandani×2
kwenye joto nibebe
ukichoka jilaze kifuani
vumilia my baby
tupatacho kidogo afueni×2
mi uniue
maaba niue×2
woyoyoyo… iki si kipimo cha mpigo
acha mwenzenu nicheke bali ninashindo
wanavyo kupiga majungu
mwenzenu natetemeka
naogopa wachina wazungu×2
naogopewa na bata wakatuchukua
kama pesa tutapata
my baby vumilia×2
end
Random Lyrics
- ahmad zahir – aye dozdeda chashm az aaho lyrics
- scalene – o legado (superstar) lyrics
- r. city – broadway lyrics
- kaaris, ixzo & solo le mythe – situation lyrics
- medina – odödlig kärlek lyrics
- zac brown band – young and wild lyrics
- chinawoman – vacation from love lyrics
- the world-band – shalalalala oh rosenborg lyrics
- joka – polaroid lyrics
- red queen – naked lyrics