nandy - asante lyrics
[verse 1]
kwenye mapito nitetee
nishike nivushe
ya dunia mazito baba
usiache yanilemee
faraja yangu i kwako
usinishushe nipandishe
ya dunia mazito baba ee
[pre chorus]
hata ninapokosea, we huna hasira
unasamehe makosa yangu
eh, eh aah, n+z+ona zako fadhila
umenitendea, umekuwa upande w+ngu
[chorus]
wewe ni nuru (nuru) wewe ni maji (maji)
wewe ni uzima (uzima) nashukuru umenitendea mema
wewe ni nuru (nuru) wewe ni maji (maji)
wewe ni uzima (uzima) nashukuru umenitendea mema
[bridge]
asante jehovah
asante jehovah
asante jehovah
[verse 2]
nyakati za shida, wakati wa vita
uliniwaza toka mwanzoni
wakanena mabaya wakanipaka za ubaya
ulinivusha nisiaibike
[pre chorus]
hata ninapokosea, we huna hasira
unasamehe makosa yangu
eh, eh aah, n+z+ona zako fadhila
umenitendea, umekuwa upande w+ngu
[chorus]
wewe ni nuru (nuru) wewe ni maji (maji)
wewe ni uzima (uzima) nashukuru umenitendea mema
wewe ni nuru (nuru) wewe ni maji (maji)
wewe ni uzima (uzima) nashukuru umenitendea mema
[outro]
wasema nami, wasema nami bwana wasema nami
nyakati za shida hujanichoka, umekuwa mwema kw+ngu
wasema nami, wasema nami bwana wasema nami
makati wa shida hujanichoka, umekuwa mwema kw+ngu
Random Lyrics
- sexbomba - prawdziwe oblicze szatana lyrics
- shiv-r - disconnect lyrics
- pokahontaz - w życiu bywa różnie lyrics
- comis & souza (ita) - mj freestyle lyrics
- moka mc & et pluto - passo falso lyrics
- lito - la trap non muore mai lyrics
- hatedgrass - скажи прощай (say goodbye) lyrics
- franky style - lil bitch lyrics
- jeff jim - two words, two hands lyrics
- kira rizavi - shadows lyrics