nandy - nipo naye lyrics
[verse 1]
asante baba kwa kuikata kiu yangu
nimekuwa shahidi, shahidi nimeuona ukuu wako
imani haba umeitoa ndani yangu
umekuwa mfariji, mfariji tena mshauri w+ngu
umerudisha tumaini langu wajua (baba eeh)
wanilinda kila nikipiga hatua
[pre chorus]
tena umeondoa fedheha na mashaka yote
pia umenitua mizigo hujaniacha mpweke
[chorus]
(hajaniacha) nipo naye
nipo na yesu
(baba) nipo naye
ah baba
hajaniacha, nipo naye
nipo na yesu
(baba) nipo naye
[verse 2]
naelewa fikra kuna kutabasamu na kulia
mengi umeniepusha mengine hata sikutarajia
pale nilipolia ulinifuta chozi na ukanishikilia
umenitoa hatia, umenivika taji leo nafurahia
[pre chorus]
tena umeondoa fedheha na mashaka yote
pia umenitua mizigo hujaniacha mpweke
[chorus]
(hajaniacha) nipo naye
nipo na yesu
(baba) nipo nayе
ah baba
(hajaniacha) nipo naye
nipo na yesu
(baba) nipo naye
mmh
Random Lyrics
- will everest - greensleeves lyrics
- kylie the rat - queen of flop lyrics
- joclyn g faubridge - papi chulo lyrics
- ksiker - астрал (astral) lyrics
- mc rhythmic - rider lyrics
- 2c - jugg & finesse lyrics
- мц beeelboubelkeenzz - biorazum lyrics
- luka_makesmusic - aftertaste lyrics
- man1ac - shittalkerz lyrics
- keinblood - come to me lyrics