nay wa mitego - nikikuona lyrics
gal unanikosha
we ndio faraja yangu usawa huu
wengine walinitocha
kisa sina vyangu mtembea kwa miguu
mungu fundi amenileta wewe
unavyo nikataga nakuita kiwembe
ukiwa shambani unanitaga jembe
ukichoka bongo twende kwa madiba
naogopa hapa bongo watakuiba
jinsi ulivyo mzuri unanipa shida
naniliyo na manguvu si nitawapiga
am in love, am in love
am in love, am in love
am in love with you
am in love, am in love
am in love, am in love
am in love with you
nikikuona na swety (ayaya)
kabla ujani petipeti (ayaya)
we ndio yangu apitaitu (ayaya)
ayayaaa (ayaya)
nikikuona na swety (ayaya)
kabla ujani petipeti (ayaya)
we ndio yangu apitaitu (ayaya)
ayayaaa (ayaya)
oh my gyal you’re fire
moyoni w+ngu sitaweka mwiba nitaulinda usiku mchana
please don’t get tired
walijaribu kukuiba nishawafanya kitu mbaya
baby you change my life
ikitokеa tukiachana mungu akupe good life
imani yangu inanituma mpaka umauti we ndio wifе
sipendelei ugovi ila for you i can fight
mama unaniweka roho juujuu (juujuu)
nataka twende town kwa miguu (miguu)
penzi lako noma changanya na jujuu (jujuu)
na kama shule wewe ni chuo kikuu (kikuuu)
ukichoka bongo twende kwa madiba
naogopa hapa bongo watakuiba
jinsi ulivyo mzuri unanipa shida
naniliyo na manguvu si nitawapiga
am in love, am in love
am in love, am in love
am in love with you
am in love, am in love
am in love, am in love
am in love with you
nikikuona na swety (ayaya)
kabla ujani petipeti (ayaya)
we ndio yangu apitaitu (ayaya)
ayayaaa (ayaya)
nikikuona na swety (ayaya)
kabla ujani petipeti (ayaya)
we ndio yangu apitaitu (ayaya)
ayayaaa (ayaya)
mama unaniweka roho juju (jujuu)
nataka twende town kwa miguu (miguu)
penzi lako noma changanya na jujuu (jujuu)
na kama shule wewe ni chuo kikuu (kikuuu)
ukichoka bongo twende kwa madiba
naogopa hapa bongo watakuiba
jinsi ulivyo mzuri unanipa shida
naniliyo na manguvu si nitawapiga
oh my gyal you’re fire
moyoni w+ngu sitaweka mwiba nitaulinda usiku mchana
please don’t get tired
walijaribu kukuiba nishawafanya kitu mbaya
nikikuona na swety (ayaya)
kabla ujani petipeti (ayaya)
we ndio yangu apitaitu (ayaya)
ayayaaa (ayaya)
Random Lyrics
- icytwat - last man standing lyrics
- young trasher - welcome to dark clouds vol.1 lyrics
- tmy, keigo & tym - *magichnicht* lyrics
- alirezajvn - binesh lyrics
- billy pilgrim - get me out of here (1991) lyrics
- doraf - quitte à faire de la merde lyrics
- one more time - the pied piper (råttfångar'n) lyrics
- korseld - häng dem högt lyrics
- shiha zikir - jom balik raya lyrics
- michael bolton - just the beginning lyrics