otile brown - asante lyrics
[intro: otile brown]
ooh
ooh
mm
vicky pon dis
[verse 1: otile brown]
kupendwa ni baraka
uwe masikini au tajiri
mwisho wa siku, ushindi mkubwa, furaha na amani
(ah, ah, ah)
kupendwa ni kwa neema
kuna waliojaliwa mali
ila ndio sasa, wamepungukiwa mapenzi
[hook 1: otile brown]
niamini, baby
mimi ni wako
kwako nashikamana hivyo
niamini, baby
mimi ni wako
kwako nashikamana hivyo
[chorus]
asante
asante
kwa kunipenda (kwa kunipenda)
asante
asante
kwa kunipenda (kwa kunipenda)
mm, mm
mm, mm
mm, mm
[verse 2: rayvanny]
nimechoka k+mficha (k+mficha, eh, eh)
acha leo mumuone
baby w+ngu ndio huyu
ndio huyu, ndio huyu, ndio huyu
nimeweka na mapicha
mitandaoni mmuone
baby w+ngu ndio huyu
ndio huyu, ndio huyu, ndio huyu
nimeona wengi, siwataki baby
nakutaka wewe
nimeona wengi, siwapendi baby
nakupenda wewe
oh, hey
ai
urembo uko high
ukiongeza make+up uta multiply
why? mai
mwenzako na ‘die
ulivyo mzuri na kuoa, wallahi i don’t lie
mmm
[hook 2: rayvanny]
niamini, baby
mimi ni wako
kwako nashikamana hivyo
mm
niamini, baby
mimi ni wako
tusiache pendana hivyo
oh, oh
[chorus]
asante
asante
kwa kunipenda (kwa kunipenda)
asante
asante
kwa kunipenda (kwa kunipenda)
(instrumentals)
Random Lyrics
- fiocati & gilldavinci - mach 10 lyrics
- pixies - johnny good man lyrics
- la cruz - el nene lyrics
- the grinns - plucking petals lyrics
- bloomyx - kleptomaniac!!! lyrics
- zyeiremikah - words from osama (explicit) lyrics
- $not - free at last ! lyrics
- james norcross - who's gonna know you now? lyrics
- officialalex425 - tbt lyrics
- news - digital love lyrics