orchestre les wanyika – sina makosa lyrics
haiyoooohh!!
lelele lile lele liloo ohh ohh mama
hasira za nini ww bwana, hasira za nini we bwana, wataka kuniuwa bure baba! wataka kuniuwa bure baba!
yule si wako na mi si w-ngu
chuki ya nini kati yangu mimi na ww chuki ya nini kati yangu mimi na ww?
le le le lile lele liloo ohh
hasira za nini we bwana, hasira za nini we bwana ah. . wataka kuniuwa bure baba wataka kuniuwa bure baba
kwako hayuko kw-ngu hayuko chuki ya nini kati yangu mimi na wewe chuki ya nn kati yangu mm na wewe
lele le lile lele lilo oh oh ahh!
hasira za nini we bwana hasira za nini ww bwana wataka kuniuwa bure baba
wewe una wako nyumbani na mimi nina w-ngu nyumbani chuki ya nini kati yangu mimi na ww chuki ya nini kati yangu mimi na wewe
haiyoooohhh!! le le le lile lele lilooh oh oh mama
(instrumintal)
sina makosa!!
chuki ya nini?
Random Lyrics
- undead corporation – the revolution lyrics
- paul conrad – california lyrics
- coldplay – fun lyrics
- mary viel cabutaje – right now lyrics
- jordan brooks – zero lyrics
- reverse order – call my name lyrics
- jon whaley – love surrounds lyrics
- alexthomasdavis – shooting stars lyrics
- frank sinatra – new york, new york (on the town) lyrics
- jon whaley – adopt me in lyrics