azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

peen lawyer – ni uchochezi ni mchochezi lyrics

Loading...

verse 1

waliomteka roma bash-te anawajua

tafakari zao pumba kwa utabiri wa mfalme juha

eti kabla ya jumapili vunja kidole cha mwisho

utanzania ni somo kama uraia ni fundisho

roma alikuwa na hogo na ikulu akawaimbia

ule haukuwa mchongo ni madudu yalinyapia

ah kweli bahati manji ana moyo wa chuma

maana moyo wa nyama kwa hizi kesi si ungesimama?

unataka kwenda zimbabwe ili niwe free

njoo ujerumani nikupe place for free ( dom)

kama moni kabla hajaifuta ile post

ntakuhost big mouse mpaka ditekta atalost

wasanii wenu wameuzwa utawala umewanunua

wapinzani wanateswa mabavu yanawasumbua

kutekwa kuteswa polisi na vipigo

ule sio uzalendo muulize ney wa mitego

chorus

ukipinga na uko rwanda ujue ni uchochezi

uganda ni uchochezi burundi ni uchochezi

hata kama ni zimbabwe ujue ni mchochezi

bongo hii? ni mchochezi ? bungeni ni mchochezi –ridia chorus x 2–

verse 2

miswahada kandamizi inapita ni hatari

maovu yanafichwa kuiokoa serikali

hoji uitwe mchochezi upewe kesi ya jinai

wanaongoza kitemi na ukibisha we huna uhai

ujinga nao ni ushenzi sawa na mmfuu hai

demokras ni andazi haki ndio yake chai

sio mbaya kukosea si wote ni binadamu

dhambi kurudia makosa ukiwa akili timamu

wanauliza nimetumwa najibu labda na mungu

sheria zikitoboka lissu anziba hizo tundu

nnshajitoa muhanga kutetea uonevu

j-po sheria ni mw-nga isiyohakisi mabavu

leo mi ndio naongea kabla kesho sij-potea

au yaje kunitokea kama yale ya kubenea

mwanadamu anaponikacha mungu ananisogelea

popote ye anafika iwe keko au segerea

chorus

ukipinga na uko rwanda ujue ni uchochezi

uganda ni uchochezi burundi ni uchochezi

hata kama ni zimbabwe ujue ni mchochezi

bongo hii? ni mchochezi ? bungeni ni mchochezi –ridia chorus x 2–

verse 3

anaejitia ukiziwi na upofu wa vyeti feki

tunajua mboga yake bash-te anaipiga jeki

hii laana ifike tis kuzimu mikocheni

moja kwa moja iende kudhulu magogoni

ikulu mdudu mchafu aliwe na python

salam kwa ofisa mchochezi nnayewindwa

siku ukipata chance nizime bullet ya ya kichwa

wahisani hawakati misaada kwao drama tunavyoteswa

hawajali huku mitaani kwamba saa nane alitekwa

lini ntaona haki na uzalendo wa hili bunge

jana aliyeitwa mwizi ndio leo anaendesha bunge

hata kijani ya jana kingunge ndio huyu leo

nasubiria machweo mawio bado kimeo

ukoloni uliacha mimba na utumwa umezaa leo

i am sorry mzawa africa viongozi wanafuga kero

katiba hazibadilishwi na nyingi zinakasoro



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...