
prince danniel - ni neema lyrics lyrics
vers 1
ulibadili ile hali ya kua mpweke kiundani ukafanya mpya amani wanadamu wakashangaa..
ulimpo nitoa kwenye giza bwana wanadamu wakabaki jiuliza vipi amefika hapa wakati tuliziba milango
nimetoka kwenye jua lile liloniwakia moyoni.. maumivu dharau shida masimango..
bridge+
ulivyo nitoa chini (ukanibariki)
shida za mwilini (ukaziondoa)
na walipo nichoma (ukanifariji)
nikainuaaa sasa nashukuru..
chorus+
ni neema ni neema ni neema
kua hapa kuna wengine hawaj+pafikia. sio kwamba mimi ni mwema
ni neema ni neema ni neema
kua hai kuna wengine wameshapotea . sio kwamba mimi ni mwema
vers 2
yesu ungelikua mwanadamu ningeshakuf+ga..
yesu ungetalitazama maisha yangu
ungeshanifutaga
thamani ya mwanadamu kwenye dunia imebebwa na kitu
thamani ya mwanadamu kwenye dunia imebebwa na vitu
ilianzia edeni ulipofanyika ubaya kutoka kwa kaini bila uoga baba…
ila ukujali hayo ukasamehe ukarudisha upendo baba
bridge+
ulivyo nitoa chini (ukanibariki)
shida za mwilini (ukaziondoa)
na walipo nichoma (ukanifariji)
nikainuaaa sasa nashukuru..
chorus+
ni neema ni neema ni neema
kua hapa kuna wengine hawaj+pafikia. sio kwamba mimi ni mwema
ni neema ni neema ni neema
kua hai kuna wengine wameshapotea . sio kwamba mimi ni mwema
Random Lyrics
- astrality & flores (edm) - bloom lyrics
- alberto - bubble lyrics
- aj tracey - jeff hardy lyrics
- darcie haven - in it alone lyrics
- richard mitchley - thomas carew - the spring lyrics
- poison mobutu - the massacre (feat. rs4) lyrics
- efey4hya - kalp atışlarım lyrics
- plugnight - ван тэйк в этом состоянии 18.06.24 lyrics
- кукрыниксы (kukryniksy) - ад для героев (hell for heroes) lyrics
- sam's - on sait pourquoi lyrics