
qlaryce - qrazy lyrics
hapo zamani kabla ya kuomoka
penzi lilinoga jua nyota na furaha aaa
ukapata pesa ukawa umebadilika
wanicheati cheati juu wajua nakupenda aaa
kila ninapowaza (aaaaa)
moyoni mimi nalia (aaaaa)
licha ya mateso haya (aaaaa)
bado nashindwa kukuacha (aaaaa)
yet you make me go go go
go go go qrazy yea, qrazy
you make me go go go go
ila kukuacha siwezi yea, siwezi yea
kila napokupata waniomba msamaha
mjinga mimi kafikiri we umerekebika
k+mbe wewe wanipanga
wanipanga yea yea yea yea
kila ninapowaza (aaaaa)
moyoni mimi nalia (aaaaa)
licha ya mateso haya (aaaaa)
bado nashindwa kukuacha (aaaaa)
yet you make me go go go
go go go qrazy yea, qrazy
you make me go go go go
ila kukuacha siwezi yea, siwezi yea
maumivu haya ya mapenzi penzi
yananifanya nigo qrazy qrazy
na kila mara nikienda
nakuta nimekurudia dia
yet you make me go go go
go go go qrazy yea, qrazy
you make me go go go go
ila kukuacha siwezi yea, siwezi yea
Random Lyrics
- three to one - sustain lyrics
- the right brothers - enemy within lyrics
- bestiplayer999 - to my bitches lyrics
- garcon maigre - тесно (cover камеры бабочек) lyrics
- mourn (uk) - heaven to gain lyrics
- sizo bwoy - un soffio sul sole lyrics
- marlon dubois - limelight lyrics
- chazer wazer - working hard iii lyrics
- follow the leader - shadow collapse lyrics
- zoinks - uma 14 times lyrics