quest nairobi chapel - ananijali (god cares for me) lyrics
Loading...
nimeomba,
tena sio mara moja, kwa roho na kwa kweli
bali sij-pata, majibu yangu kuyaona
adui shetani muongo
asema yakwamba mwenyezi mungu, yeye hanijali bali
siwezi, sitomkubali
ninayo hakikisho, ya kweli mimi ninajua
ananijali
sitokubali kuzama kwenye maji
ananipenda yeye ni mwema
ni za dunia
zangu hizi shida, hazitanizuia, kukutumikia
nitafuata mimi hiyo njia, ya kweli na uzima
kwani ulisema yote yamekwiska
sitababaishwa, ninajua yatapita
kwani, baada ya usiku giza
ninayo hakikisho, asibuhi itafika, kwani
ananijali
sitokubali kuzama kwenye maji
ananipenda yeye ni mwema
Random Lyrics
- stressball - column lyrics
- dr. vandemataram srinivas & geetha madhuri - nadi dhanakshetram lyrics
- bayside - the ghost (acoustic) lyrics
- tchami - world to me lyrics
- ramin karimloo - one song glory lyrics
- flou - zero lyrics
- congal tijuana - pensando en tus ojos lyrics
- jarod - start 2017 lyrics
- beleleu - vai passar lyrics
- tim jordan - you still love me lyrics