ramsey arafat kashida aka {romantic vampaya} - mikosi na dhiki lyrics
mikosi na thiki lyrics (by ramsey arafat kashida
aka {romantic vampaya})
(introduction)
aaaaaaaaaaaahaaaaa……………
uuuuuuuuu aaaaaaaaaaaaaaaaha…………
aaaaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaa…………
na ite music productoooiiin…………
(bridge)
mola……………………………………………………………
mola……………………………………………………………oye mola oooh
mola please nisikize mimi
mola…………………………………………………………… mola
mola…………………………………………………………… oye mola oooh
mola please nisikize mimi
kile nataka kusema
(chorus)
mola naomba punguze mikosiiii……………………………..mikosiii
mola please punguza mikosiiii………………………………….mikosiii
nikakuomba upunguze mikosiii……………………………….. oelelele mama
iliangalau nipumuzike wiki ……………………………………. au siku hamsini
(stanza 1)
ninashukuru umenipa uhai…
ninapumua hewa yako safiii…
kwa nehema yako naamka asubuhiii…..
pia asanti kwa kuniumba mimi…………
ila muumba punguza mikosi……………
kila siku minimejawa machozi………….azn
siku yangu moja imekuwa ni wiki…………
mzigo mzito umenizidi mimi………………………
(bridge)
mola……………………………………………………………
mola……………………………………………………………oye mola oooh
mola please nisikize mimi
mola…………………………………………………………… mola
mola…………………………………………………………… oye mola oooh
mola please nisikize mimi
kile nataka kusema
(chorus)
mola naomba punguze mikosiiii……………………………..mikosiii
mola please punguza mikosiiii………………………………….mikosiii
nikakuomba upunguze mikosiii……………………………….. oelelele mama
iliangalau nipumuzike wiki ……………………………………. au siku hamsini
(stanza 2)
(break)
wenzangu wanafuraaaa
kula kunywa bila karaaa
kwani mimi nilikosa niiniii…………
mimi ndo kunyanyaswaaa
cheka kanua nakutukanwaa
kwani mimi nilifanya niiniii…………
marafiki wamenikimbiaaaa…………..
kuwa dhiki zimenizidiaaaa…………..
samiwapi ntakimbiliaaaaa……………
nipatefuraha nakutuliaaaa……………
(bridge)
mola……………………………………………………………
mola……………………………………………………………oye mola oooh
mola please nisikize mimi
mola…………………………………………………………… mola
mola…………………………………………………………… oye mola oooh
mola please nisikize mimi
kile nataka kusema
(chorus)
mola naomba punguze mikosiiii……………………………..mikosiii
mola please punguza mikosiiii………………………………….mikosiii
nikakuomba upunguze mikosiii……………………………….. oelelele mama
iliangalau nipumuzike wiki ……………………………………. au siku hamsini
(bridge)
mola……………………………………………………………
mola……………………………………………………………oye mola oooh
mola please nisikize mimi
mola…………………………………………………………… mola
mola…………………………………………………………… oye mola oooh
mola please nisikize mimi
kile nataka kusema
(chorus)
mola naomba punguze mikosiiii……………………………..mikosiii
mola please punguza mikosiiii………………………………….mikosiii
nikakuomba upunguze mikosiii……………………………….. oelelele mama
iliangalau nipumuzike wiki ……………………………………. au siku hamsini
haaaa ni romantic vampaya
Random Lyrics
- lamar shuler - i'm sorry mom lyrics
- anti-kahraman - acapella 1 lyrics
- koli - pocztówka z państwa środka lyrics
- al-d - gorillas lyrics
- a (the band) - i'm over it lyrics
- rödelheim hartreim projekt - dieses lied lyrics
- yung simmie - 275 royalty lyrics
- 10k.caash - the last fight night lyrics
- xdipx - destroyer of the realms lyrics
- baby crazzy - toy en musica lyrics