
raptor el shariff - kilio lyrics
Loading...
intro
najua jua limeshazama
nami nimekwisha kuchelewa
riziki kweli mafungu saba
nami ya kw+ngu sijajaaliwa
sio kama hatupendani
ila mipango haiendani
utabaki kuwa my no one
ij+pokuwa hatuoani
chorus
hiki kilio mama kilio x3
ulochomeka ni moyo w+ngu
milele ungekuwa w+ngu mmh
outro
tuloyapanga hayajafana
ni bora heri tungezikana
uzae tuwe baba na mama
ningali bado niko kijana
haya maisha yalisababisha mwenzako naisha ( aaaa)
yanikinaisha napata tabu namalizika (aaaa)
ni bora niende chini mimi
ni bora niende chini mimi
nikiishi siwezi kuwa mimi
chorus
hiki kilio mama kilio x3
ulochomeka ni moyo w+ngu
( to be continued )
Random Lyrics
- your x lover - love, hate lyrics
- alessiah - i know lyrics
- nmb48 - どうでもいい人仮面 - doudemo ii hito kamen lyrics
- mannick - un an déjà que tu reposes lyrics
- agustine - dale vení lyrics
- sam yancor - mi oportunidad lyrics
- war from a harlots mouth - the black lodge lyrics
- amerikkken - kold world lyrics
- raige - ciao ciao lyrics
- fiebre - human lyrics