![azlyrics.biz](https://azlyrics.biz/assets/logo.png)
sina tatizo na mtu - wokovu wa wanadamu lyrics
wokovu wa ulimwengu (wa ulimwengu)
eh we ndugu fikiria (eh kufikiria)
gisi alivyo chukua (chukua maisha ya mwana wa mungu)
hili abari ya wokovu (ya wokovu)
iufikie ulimwengu (ulimwengu)
ziki kupa wamepata (wamepata)
watumishi wake mungu (waku mungu wetu)
hivyo baba mungu wa mbinguni ali andaa ukombozi wetu
(kwa damu yake)
kwa damu yake bwana yesu ambayo yatuweka hubu pamoja na mungu wetu
milele, milele, tukamuone
hile mimi na wewe,
tuitwe wana wa mungu (yesu kajitoa)
siku moja tuone huko (alleluia, milele)
hile mimi na wewe,
tuitwe wana wa mungu (yesu kajitoa)
siku moja kuishi raha
ndugu shika sana (ndugu shika sana)
ndugu shika sana (wokovu wako ndugu)
milizima ufahamu (milizima ufahamu)
samani yake (samani yake)
tena linda sana (tena linda sana)
tena linda sana (wokovu huo ndugu)
lazima uwe, mama (lazima uwe mshindaji)
siku moja (umuone yesu)
wokovu una shangilia kwa furaha halipo uandaa yesu
bwana, siku hiyo, alilia kwa uzuni
wokovu unauzarahulisha, mbele za watu na zele za baba mungu
k+mbuka bwana wetu yesu aliuwana kwa uchungu
(alilia kwa baba) baba yangu kikombe hiki kiniepuke
Random Lyrics
- juno (us) - movies for guys (dltzk cover) lyrics
- yong jun hyung, feeldog, le - 어이없네 (you got some nerve) lyrics
- kylie minogue - magic (extended mix) lyrics
- sweet the kid (kor) - fix me lyrics
- true tides - survive (live, behind the song) lyrics
- dinosaurik - supernova lyrics
- teenage dads - come on, cowboy, fire your gun! lyrics
- lukas meister - leuchten lyrics
- пневмослон (pneumoslon) - адовый адок (hell 's hell) lyrics
- ms nthabi - 3rd eye lyrics