sir yongo - hurulaini (feat. fo'real beatz) lyrics
[intro]
it’s sir yongo!
eh eh!
eh eh, eh!
[verse 1]
baby wacha n’nene (wacha n’nene), nakupenda sana
baby wacha n’seme (wacha n’seme), nakupenda sana
naeza fanya kitu chochote, kwa ajili yako
naeza fanya
ashizo baby
malavidavi nikupee, baby
penzi la dhati
nimekuchagua, naamini unanipenda
penzi nikaamua, sitoweza kukutenda
huba ni maua, harufu tamu imetanda
vile wanitambua, nitazidi kukuganda
[chorus]
nakuona wewe, kama hurulaini
nimekuhifadhi, mw+ngu mtimani
nakuona wewe (eh eh!), mwenye thamani (eh eh, eh!)
[verse 2]
baby wacha n’nene (wacha n’nene), nakupenda sana
baby wacha n’seme (wacha n’seme), nakupenda sana
naeza fanya kitu chochote, kwa ajili yako
naeza fanya
ashizo baby
malavidavi nikupee, baby
penzi la dhati
mtoto mwenye figa, ninajua ulivyoumbika
sura wanaiga, kimwana umehulukika
madaha kama twiga, nikikuona nabambika
vile wanipendaga, kwako baby nimeshika
[chorus]
nakuona wewe, kama hurulaini
nimekuhifadhi (nimekuhifadhi), mw+ngu mtimani (mw+ngu mtimani)
nakuona wewe (nakuona wewe), mwenye thamani (baby una thamani)
katu sitoweza (sitoweza, baby), kukutupa chini (aaah!)
[outro]
ashizo baby
Random Lyrics
- kokobean - vacant røøm views. lyrics
- enhypen (엔하이픈) - sweet venom (english ver.) lyrics
- natewantstobattle - ao no sumika (jujutsu kaisen) [cover] lyrics
- bastille & hans zimmer - pompeii mmxxiii (edit) lyrics
- cundo [arg] - creo lyrics
- fleur electra - never learn lyrics
- zelya mc - stop lyrics
- luracks - snotty nose lyrics
- mc bolo - sexe, drogue, argent facile lyrics
- babefingers - babe fingers come hither lyrics