azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

sauti sol – sura yako lyrics

Loading...

nimekuchagua wewe, nikupende
mama, sitaki mwingine
aushi usiniache, usinitende
mama, usipende mwingine
moyo w-ngu ni mwepesi
umenikalia chapati
nafanya vituko kama chizi
kukupenda sitasizi
moyo w-ngu ni mwepesi
umenikalia chapati
nafanya vituko kama chizi,
kukupenda sitasizi

sura yako mzuri mama, aaah
mzuri mama …
na tabasamu lako maua, aaah
mzuri mama …

itabidi nikulinde, nikutunze
mama, usikose lolot
pete nayo nikuvishe, nikuoe
mama, usiende popote
juu moyo w-ngu ushakubali
umenikalia chapati
nitakulinda kama polisi, eh!
itabidi nik-marry
moyo w-ngu ushakubali
umenikalia chapati
nitakulinda kama polisi, eh!
itabidi nik-marry
na figure yako kama ya chupa, aaah
mzuri mama …
na sura yako mzuri mama, aaah
mzuri mama …

piga dansi kidogo,
piga da… piga dansi kidogo,
dansi kidogo,
piga da… piga dansi kidogo …



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...