tumaini gospel singer's - tupo pamoja lyrics
hatuogopi hatulegei
hatuogopi hatulegei
shetani kama simba anavyotutishia
shetani kama simba anavyotutishia
hatuogopi hatulegei
hatuogopi hatulegei
pamoja na bwana yesu tutashinda
ulimwengu huu wa shida tutashinda na bwana
j+po mengi yanakatisha tamaa tutashinda na bwana
pamoja na bwana yesu tutashinda
ulimwengu huu wa shida tutashinda na bwana
j+po mengi yanakatisha tamaa tutashinda na bwana
hata shetani ajipange ajipange ajipange
hatutaogopa tunao ujasiri tunao ujasiri
hata shetani ajipange ajipange ajipange
hatutaogopa tunao ujasiri tunao ujasiri
tupo pamoja na bwana
pamoja na bwana
tunahakika ya kufika
pamoja na bwana
tupo pamoja na bwana
pamoja na bwana
tunahakika ya kushinda
pamoja na bwana
tunashinda
zaidi ya kushinda kwake yesu aliyetupenda
hakika tunashinda
tunaweza katika yeye atutiaye nguvu
hakika tunaweza
tunashinda
zaidi ya kushinda kwake yesu aliyetupenda
hakika tunashinda
tunaweza katika yeye atutiaye nguvu
hakika tunaweza
tumekubali kwenda naye bwana yesu
tuko tayari tumemkubali bwana yesu
tuko tayari kuanza naye k+maliza naye
tupo pamoja na bwana
tupo pamoja na bwana
tunahakika
tunahakika ya kufika
pamoja na bwana
tupo pamoja na bwana
pamoja na bwana
tunahakika
tunahakika ya kushinda
pamoja na bwana
Random Lyrics
- luísa sonza - penhasco. (ao vivo) lyrics
- man on the internet - unbroken (afton song) lyrics
- yuno miles - 4 wheeler lyrics
- dxnielx - co kdyby lyrics
- psichiatri.ts official - triste lyrics
- funky terrorist - cocktail lady lyrics
- miley cyrus - river lyrics
- hamdi52 - dunya lyrics
- eeleya phoon - she fly like she dance lyrics
- mississippi john hurt - the ten virgins (when the bridegroom comes) lyrics