
unanichukia - yammi lyrics lyrics
[verse 1]
mhh upepo uvumao mashariki
unipepee kwa magharibi
na roho iponee
labda ungesema kwa lipi ambalo sikufai
na ukipata muda uje unione
[pre chorus]
nimezana meli feli, shilingi inaelea aah
au ule ujazo wa bahari umeshapungua
kule kunipumba pamba kwa zawadi
kujitumisha vimeseji, ahh mapenzi mabaya
panapo majaliwa
siku tukija tena kuonana
usisite kunisalimia
so kimya kimya kama mabubu ah tunapishana
[chorus]
najua unanichukia
ahh unanichukia ooooh
najua unanichukia
ahh unanichukia, unanichukia ooooh
[verse 2]
macho yatazama mbali
ila mi sioni mbele ukungu
katu wa moja habebagi mbili
hua nachekaga usoni, ya moyoni anajua mungu
[pre chorus]
nimezana meli feli, shilingi inaelea aah
au ule ujazo wa bahari umeshapungua
kule kunipumba pamba kwa zawadi
kujitumisha vimeseji, ahh mapenzi mabaya
panapo majaliwa
siku tukija tena kuonana
usisite kunisalimia
so kimya kimya kama mabubu ah tunapishana
[chorus]
najua unanichukia
ahh unanichukia ooooh
najua unanichukia
ahh unanichukia, unanichukia ooooh
Random Lyrics
- truth - marrv lyrics lyrics
- young, awkward & lonely - jeangu macrooy lyrics lyrics
- cross my heart - source guy lyrics lyrics
- back2school flow - stylufka lyrics lyrics
- flew away - young $age lyrics lyrics
- east ghost - markandrewhouston , khylil lyrics lyrics
- brucia - cix (cinzia rosa) lyrics lyrics
- repo man - the meteors lyrics lyrics
- everything you thought it was, it isn't - carter ace lyrics lyrics
- easier said than done - the potato pirates lyrics lyrics