whozu_ - attention lyrics
[intro: whozu & zuchu]
yezzeman
…zombie
(s2kizzy)
[verse 1: whozu]
umetoka kwenu bush, nakuona
sa hivi unajiona
una force kujipost, post na’
hakuna kitu naona (yeah)
wewe sio wa kwanza kukupenda
naweza kukuacha na ukaenda
ukitaka ushindani, uta+surrender (surrender)
uta+surrender
[hook 1]
haya, haya, ’tia maji
haya, haya, ‘tia maji
kununua zako huwezagi
basi bora unywe maji
[chorus: whozu & zuchu]
huna jipya
tena umepauka
unapenda attention
attention
una sifa, ona limekushuka
sikupi attention
(mm+mm)
attention
(wee!)
[verse 2: zuchu]
mungu naomba unisamehe kwa hili kosa (hili kosa)
huyu mbwa nimemvumilia, nishachoka (nishachoka)
nilikaa kimya bubu, ukaleta uduanzi
sasa leo nakujibu upate vi+followers
kwanza, kisu chako butu
hakinoi, hakikati, yaani+
um, tum, tum, tum
tum, tuku, tum, tuku, tutu
unajitia mchati huna kitu, tu, tu
unacho niudhi huna k+mbuk+mbu
ulikuja juzi umekonda kama mbu
nikakupa ujuzi kukutoa ukungu
usilete makuzi, kaoshe map+
[post+chorus: whozu & zuchu]
huna jipya
tena umepauka
unapenda attеntion
(kwenda!)
attention
(hovyo)
una sifa, ona limekushuka
sikupi attеntion
(hilo!)
attention
(hilo!)
eti nyoko, nyoko
nyoko, nyoko
[hook 2: zuchu, both, & whozu]
haya, haya, ‘tia maji
haya, haya, ’tia maji
kununua vyako huwezagi
basi bora unywe maji
[outro: whozu]
huna jipya
tena umepauka
unapenda attention
attention
una sifa, ona limekushuka
sikupi attention
attention
Random Lyrics
- temo babila - palelle lyrics
- mariosevilla - modo avion lyrics
- ankle - closet lyrics
- anthi - daddy issues lyrics
- ардженто (argento) (rus) - страх умереть (fear of dying) lyrics
- fukkfaace - looking at death as a reasonable means of escape lyrics
- youngboy never broke again - in my room lyrics
- eastern margins - boyband lyrics
- okonik - 1000 remaster lyrics
- family*5 - libero lyrics