willy paul - aheri mama lyrics
oh ma, mama mama
oh ma, mama mama
oh ma, mama mama
oh ma, mama mama
i could never ask for more
mama amor, nyawa aheri mama
i could never ask for more
mama amor, nyawa aheri mama
and there is a day
ninakuita mama (aheri mama)
and there is a day
ninakuita mama (aheri mama)
najua kuna wale hawanao mama, sio kupenda kwao
najua kuna wale hawatanielewa na sio kupenda kwao
ile nyumba fathe hak+malizia, nik+malizie mama
ile nyumba fathe hak+malizia, nik+malizie mama
ile deni mathe uliomba chuo, nik+malizie mama
na ile nguo ulitamani ya jirani, nikununulie mama
mama (mama) ah mama (mama)
mama (mama) ah mama (mama)
mama (mama) ah mama (mama)
mama (mama) ah mama (mama)
oh, i remember salome
nilipokosea ulinichapa kidogo
na nilipokosa chakula mama
ulitafuta kidogo
majirani walipotokelea mama
majirani walipotokelea mama
ata sijui mbona nalia, mbona nawaza mama
sijui mbona nalia, sijui mbona nawaza mama mama
eh, hey (aheri mama)
mama (mama) ah mama (mama)
mama (mama) ah mama (mama)
mama (mama) ah mama (mama)
mama (mama) ah mama (mama)
e+eh, mmh
mathe najua unam+miss mume wako fathe
oh pole aisee, nam+miss kama mwana wake
mama i got you, anything you want just tell me
mama i got you, anything you want just tell me
mama, mama, ah
mama i love you mama, i love you mama
Random Lyrics
- badbok - бізнес (business) lyrics
- eiburie - birds lyrics
- ruins - misonta lyrics
- 円神-エンジン- (enjin) (jpn) - さがしもの (sagashimono) lyrics
- christina munsey - august lyrics
- devin millar - a way out lyrics
- casey dubie - science teacher lyrics
- מאיר בנאי - anenu - עננו - meir banai lyrics
- oriente (ita) - eppure mi va lyrics
- fanum tv - fanum x mina wavii- mind control lyrics