zuchu - makonzi lyrics
[intro]
lg ih
lg ah, ah ah
mr lg
[verse 1]
ndo kakwambia ataniacha
haha hehe unachekesha sana
hizo ni ndoto za alinacha
haha hehe anakundanganya
hata umpe nini
hunin’goi unajisumbua mwaya
huyo bila mimi, hatoboi
nimemshika pabaya
[pre chorus]
we chezewa ukimaliza kwenda
hatuachani kisa ujinga
we chezewa ukimaliza kwenda
hatuachani kisa ujinga
na nikikukuta nae
[chorus]
patachimbika
nitakutia makwenzi
nitakutikisa
patachimbika
nitakutia makwenzi
nitakutikisa
[verse 2]
kwanza unitambie umenizidi nini
kubattlle na mie
uje na wenzako tisini
uliza uambiwe
mimi mtoto wa nani (kapaa)
ukijifanya chawa
mi mwenzako kunguni
huna nini ?
huna jipya nenda kwa mwampopo
kikisafishwa labda ndo upate soko
huna nini ?
huna jipya nenda kwa mwampopo
kikisafishwa labda ndo upate soko
[pre chorus]
we chezewa ukimaliza kwenda
hatuachani kisa ujinga
we chezewa ukimaliza kwenda
hatuachani kisa ujinga
na nikikukuta nae
[chorus]
patachimbika
nitakutia makwenzi
nitakutikisa
patachimbika
nitakutia makwenzi
nitakutikisa
Random Lyrics
- thekomakoma - родина (homeland) lyrics
- tekne - doktor feridun kunak lyrics
- baby zeek & rio da yung og - sorry mama lyrics
- ikkimel - böser junge lyrics
- crvena kruška - sanjati lyrics
- ария (aria) - симфония огня (symphony of fire) lyrics
- brandon z. smith - wander lyrics
- alana springsteen - ghost in my guitar (live from npr's tiny desk) lyrics
- dbm eclipze - gremlin lyrics
- sunshine christo - albatross lyrics