ali kiba – hela lyrics
hela hela… hela hela…
hela unatutesa pia
tatizo lako aliekuumba
ni binadamu angekuumba mungu wewe
usingenipotea tena sana ningeomba
niweze kukoa uwe w+ngu moja kwa moja hela
nisha beba takataka
nipate kula nikikupata unatoroka
hela
mbona labda masikini
wakikupata wakisha kula
unatoroka hela
hela hela ( hela..)
hela hela, hela, hela hela…
hela hela, hela, hela hela…
hela unatutesa sana
na wananchi w+n+lalamika
unapendelea wana siasa hela
wanayonywa haki zao
na wenye nguvu
aliyewapa jon kio hela
na machinga nao pia
wananyanyasika sababu yako wewe hela
kwa wagonjwa hospital
bila rushwa hawatibiwi vizuri
hela hela (hela..)
hela hela hela hela (hela..)
hela hela hela hela
hela unatutesa sana
hela hela, hela hela
hela hela, hela hela
wewe wako matajiri
ndo maswaiba zako
(hela unatutesa sana)
nenda ukae na mayatima
wapate faraja aaaja aaaja…
kwani nani asiependa (kujinafasi)
nani asiependa (kujinafasi)
nani asiependa
kuwa na wewe hela
kuna wajane wasiojiweza
walemavu mpaka ali k
hela hela, hela hela
hela hela, hela hela
hela hela, hela hela
hela hela, hela hela
yeah
Random Lyrics
- kiiyamii – creep lyrics
- simon hinkler – still waiting lyrics
- placy! (плэйси) – битбокс (beatbox) lyrics
- unotheactivist – is you dumb lyrics
- genji & yondaime – fws lyrics
- hulkoff – hammarslag lyrics
- morad – maría lyrics
- job zezz – vitória lyrics
- stanojka mitrović ćana – blam, blam lyrics
- tanya tekis – ily lyrics