ali kiba – sitaki tena lyrics
yogo on the beats)
umenitesa roho ni kweli sio masihara
kutwa nahuzunika lole
nikawa kama fala (nikawa kama fala)
nilijipa moyo, mbona nitafuna?
miezi donda ndugu kw+ngu sugu
kufutika never
sasa umeona, urudi tena
unaomba msamaha wa kurudiana
sasa umeona, urudi tena
unaomba msamaha wa kurudiana
nasema sitaki tena, tena
mi sitaki tena, tena
kurudi ya nyuma, tena
oh sitaki tena, tena
sasa umeona, tena
mi sitaki tena, tena
kurudi ya nyuma, tena
oh sitaki tena
(oh sitaki tena, oh sitaki tena)
kama unanishow, mapenzi toka china
tena una mengi majina, eti love designer
wanakuita designer, unavyojua kushona
unavyoringa kama nyuzi ya shanga
kutikisa nyonga
sasa umeona, urudi tena
unaomba msamaha wa kurudiana
sasa umeona, urudi tena
unaomba msamaha wa kurudiana
nasеma sitaki tena, tena
mi sitaki tena, tеna
kurudi ya nyuma, tena
oh sitaki tena, tena
sasa umeona, tena
mi sitaki tena, tena
kurudi ya nyuma, tena
oh sitaki tena (oh sitaki tena, sitaki tena)
sasa umeona, urudi tena
unaomba msamaha wa kurudiana
sasa umeona, urudi tena
unaomba msamaha wa kurudiana
nasema sitaki tena, tena
mi sitaki tena, tena
kurudi ya nyuma, tena
oh sitaki tena, tena
sasa umeona, tena
mi sitaki tena, tena
kurudi ya nyuma, tena
oh sitaki tena (oh sitaki tena, sitaki tena)
Random Lyrics
- franziska wiese – wo auch immer du bist lyrics
- shaq attack – танцевальная чума! lyrics
- juliana riccardi – in my soul lyrics
- tony 2milli – minute-man lyrics
- moja – last day lyrics
- fujimaru feat. lcd – penghianat cinta lyrics
- sori – deja vu lyrics
- corbin adler – past tense lyrics
- jordy (us) – like a boy lyrics
- jaja00 – i’m tryna sweet chin music adrien zenz lyrics