ali kiba – yalaiti lyrics
intro
yeaaap
verse:alikiba
naona raha, kukuona aah nafsi yangu inafurahika
majeraha nimeshapona aah hivi sasa moyo w+ngu
umehimarika aah maana umenituliza hayuni iii
kwa raha zako na sazaa, sijui niseme nini iii
napewa vya kila ladha, oooh nikeshe na wewe
tukiambizana, nikeshe na wewe tukiliwazana
nikeshe na wewe tukiambizana nikeshe na wewe
tukiliwazana
chorus: alikiba
yalaiti “yooh”yalaiti yalaitii yalaiti “yalaiti ningejua mapema”
yalaiti “aaah”yalaiti yalaitii yalaiti “yalaiti ningejua mapema”
instrumental
aaah ooah aaah aaaaaih yalaaiti yalaa aaah
verse:sabah salum
siri yangu yako wewe, siri yako yangu mimi
mwili w+ngu wako wewe, mwili wako w+ngu mimi
amina rabbi amina mimi kwako hali sina umenizidi
hekima mi nasitirika, nikeshe na wewe
tukiambizana, nikeshe na wewe tukiliwazana
nikeshe na wewe tukiambizana nikeshe na wewe
tukiliwazana
chorus: alikiba & sabah salum
yalaiti “oooh”yalaiti yalaitii “yalaiti ningejua mapema”
yalaiti “oooh aah”yalaiti yalaiti mmh yalaiti “yalaiti ningejua mapema”
bridge:alikiba & sabah salum
amina rabbi amina mimi kwako hali sina umenizidi
hekima mi nasitirika
oooah amina rabbi amina mimi kwako siri sina umenizidi
hekima mi nasitirika aaah……….
outro:
instrumental
the mix k!ller
Random Lyrics
- svudvde – corner lyrics
- amiaryllis – bitter choco decoration (english ver.) lyrics
- berliner weisse – x-five lyrics
- lilmido – ich verlauf mich in dir lyrics
- isaac valentes – jingle bell rock lyrics
- blushing – why can’t we? lyrics
- street baby – imfu lyrics
- locomondo – marigoula madalena lyrics
- def rebel – about that time lyrics
- neurosis inc. – military sacrifice lyrics