ambassadors of christ choir – nimekupata yesu lyrics
nime kupata yesu,
nimepata yote,
nimekupata bwana,
sitahitaji tena aah,
wewe, ndiwe hitaji langu,
ngome yangu na mwamba
tengemeo langu katika hali
jaza moyo w-ngu, upendo nikupende,
u rafiki wa kweli,
nifundishe kupenda aah,
bwana, maana upendo wako,
ndio pekee waweza,
kunifanya kiumbe kipya nikakufuate
natamani nitembee katika upendo wa bwana,
upendo ule wa dhati,
upendo husiobagua,
upendo uletao hekima, busara na amani,
upendo wakimbingu
pekee ulio bora
wapenzi wa kulia,
wengi ni wadanganyifu,
niwapo katika hali zuri tuko wote eeh,
lakini katika matatizo,
wote wanikimbia,
wewe nimekupata nitakushikilia
nakukaribisha bwana,
uyatawale maisha,
yetu yakila siku,
tufundishe kupanda aa, mbegu
za upendo wa dhati,
mwisho wa nyakati,
tuweze kuvuna matunda ya ukamili
kamilisha upendo, mungu aliohadaa
dumisha ndoa zao furaha itawale,
bwana, pembeni za unyonge na udhaifu,
wao familia iwe mw-nga wa mbingu ku
Random Lyrics
- hollow earth – astral dominion lyrics
- itoldyouiwouldeatyou – learning from american mistakes lyrics
- i61 – ranger lyrics
- aaradhna – empty hall lyrics
- the charlatans – smash the system lyrics
- 尚雯婕 – 当你想起我 lyrics
- logic – mind of a maniac lyrics
- gerson rufino – a cruz lyrics
- fried rice – wii sports lyrics
- jt machinima – rapture rising lyrics