annette kawira & gaza – lala lyrics
Loading...
vers 1:
giza lime ingia
mpenzi uko wapi
natamani uwe na mimi
nawe uko mbali
uuuuuuwoooo
uuuuuuwoooo
chorus:
unik-mbuke mimi (uki lala)
uniwaze mimi (uki lala)
unik-mbuke mimi (uki lala)
uniwaze mimi (uki lala)
vers 1:
penzi nakutamani
nione sura yako
picha yako iko kutani
naiona kila siku
uuuuuuwoooo
uuuuuuwoooo
chorus:
unik-mbuke mimi (uki lala)
uniwaze mimi (uki lala)
unik-mbuke mimi (uki lala)
uniwaze mimi (uki lala)
bridge:
kila niki lala mimi nakuwaza we, kuota we
kila niki lala mimi nakuwaza we, kuota we
kila niki lala mimi nakuona we, kuota we
kila niki lala mimi nakuona we, kuota we
chorus:
unik-mbuke mimi (uki lala)
uniwaze mimi (uki lala)
unik-mbuke mimi (uki lala)
uniwaze mimi (uki lala)
Random Lyrics
- drrty pharms – take that d lyrics
- l’algérino – salam lyrics
- tonik obiektiv – spirit de invingator lyrics
- raygun – bet. lyrics
- frank victor – lose yourself lyrics
- bangerz – grace lyrics
- french montana – groupie love lyrics
- shay lia – feels lyrics
- igor – so lonely lyrics
- theophilus london – dance hall dyas lyrics