ashery willy – atatenda lyrics
mbona unalalamika mama
na umekata tamaa
mbona unahuzunika baba
dunia imekuelemea
waamka asubuhi, cha kutia mdomoni hakuna
na deni mtaani, kodi ya nyumba unadaiwa
watoto nao shuleni, ada wamef+kuzwa
mkeo yu hatarini, hoi kitandani anajiuguza
yuko yesu ni jibu
yupo yahwe eeh eeh
atatenda
(mahitaji yako) atakupa
(eeh mwombe yeye tu) atatenda
(mwombe,mwombe yeye)atakupa
(usikate tamaa)
ya dunia yanavunja moyo
cha msingi wewe jipe moyo
ya dunia yanavunja moyo hoouh
(moyo)
atakupa nguvu ya kustahimili mabaya hayo
msalabani alitenda heey
yupo yesu ni jibu
yupo yahwe eeh eeh
atatenda
(mwombe,mwombe yeye) atakupa
(hee eeh mahitaji yako)atatenda
(haja ya moyo wako baba)atakupa
hee eh usikate tamaa
mungu wetu hachelewi, hawahi
kwa wakati atatenda, mtumaini
mungu wetu hachelewi, hawahi
kwa wakati atatenda, atatendaa
heiyeee heeeeeeeeh
atatenda
(umechoka,umelia,umeshindwa,tumaini hauna tena)atakupa
(mweleze baba yeyeeh) atatenda
(mwambie yesu,mwambie baba)atakupa
(mwambie haja ya moyo)atatenda
(yelele yelele yelele iyeeh)atakupa
(heeh heeh baba ah)atatenda
(mwambie haja ya moyo ooh) atakupa
(usikate tamaa) atatenda
(usivunjike moyo) atakupa
(heeh heehe) atatenda
(huuuuuh huuh) atakupa
Random Lyrics
- the record low – pass away lyrics
- k zeus – rain: waterworks lyrics
- neverlander – run with us lyrics
- kbs (rus) – интро (intro) lyrics
- mickey b more playloud – need my lighter * mickey b more playloud lyrics
- grayson clark – paper bag princess lyrics
- mac lethal – this time around lyrics
- odreii – golden child lyrics
- franziska [deu] – sie wissen nicht (rock version) lyrics
- graves – there are no penguins in alaska lyrics