bahati – diana lyrics
niko vitani na moyo baby
zaidi ya yote k+mbuka jana
unasonga, mi nasonga
moyo unakataa. ah!
kinachonitia wasi wasi
ni cha kuwaambia kanisani
na sijafeli
nina imani moyoni
ulivyobeba virago vyako
kanisahau mie
na ukambeba mwanangu
amwite nani dady
diana (diana)
diana (diana, diana)
w+ngu diana (diana, diana)
nisikize diana (diana, diana)
ina maana huoni uchungu napitiaa
naikimbia shida nilikotoka unajuaa
naogopa, naogopa
hunnie naogopa
ninavyo umia bidii kwa kazi
mbona unaondoka
nakupenda sana
nishawaambia mashabiki na baba
akulinde sana
baado nakusubire
ulivyobeba virago vyako
kanisahau mie
na ukambeba mwanangu
amwite nani dady
diana (diana)
diana (diana)
w+ngu diana (diana)
nisikize diana (diana, diana)
ina maana huoni uchungu napitiaa
naikimbia shida nilikotoka unajuaa
diana (diana)
diana (diana)
diana, diana…
diana, diana…
shallzbaro
ulivyobeba virago vyako
kanisahau mie
naukambeba mwanangu
amwite nani dady
Random Lyrics
- wcs jokea – demon reunion lyrics
- al hazan – where is he? lyrics
- bruder jxkob – atemzug lyrics
- per grazia ricevuta – orfani e vedove lyrics
- qaedadot – chop them up lyrics
- אריאל הורוביץ – kesef – כסף – ariel horowitz lyrics
- walid saad – sabny wo rah | سابني وراح lyrics
- eskorbuto – seguridad social lyrics
- ryan librada – you were right lyrics
- claudio botelho – em meu próprio cantinho lyrics