ben pol – wapo lyrics
its bob maneke
eltianam
usiku wa mananeeeeh jua kali likawaka
hali ambayo sikuizoea ivyo ilinipa mashaka
sikutaka tugombaneeeeeh yeye ndo alitaka
akawa ananililia eti anataka talaka
lile ua letu lote la upendo ndo likanyaukaah
aaaaaah eeeeh
nilitaka kua chizi maaawe ningeweuka
nikasema tulia tulia moyo aya ya dunia yasikutishe wala
yani tulia tulia moyo aya ya dunia yasikunyime amani
wengine wapo wapo wapo
mapenzi yapo yapo yapo tu
wengine wapo wapo wapo
mapenzi yapo yapo yapo tu
nlikonda kwa mawazo nlikosa raha nlipata wasiwasi
ila nlijipa moyo natupa jiwe ntapata almasi
saa nyingine nilifumba ata macho namuona yeye
ilinipa tabu kusahau moyoni alikuaaa. ah
nasema tulia tulia moyo aya ya dunia yasikutishe wala
yani tulia tulia moyo aya ya dunia yasikunyime amani
wengine wapo wapo wapo
mapenzi yapo yapo yapo tu
wengine wapo wapo wapo
mapenzi yapo yapo yapo tu
nasema tulia tulia moyo aya ya dunia yasikutishe wala
yani tulia tulia moyo aya ya dunia yasikunyime amani
nasema tulia tulia moyo aya ya dunia yasikutishe wala
yani tulia tulia moyo aya ya dunia yasikunyime amani
wengine wapo wapo wapo
mapenzi yapo yapo yapo tu
wengine wapo wapo wapo
mapenzi yapo yapo yapo tu
yapoooo tuuuuuuu
Random Lyrics
- latin nation – only cries lyrics
- uriel barrera – a tu favor lyrics
- rico recklezz – n dis shit lyrics
- young chop – lets get it lyrics
- cuban doll – realer lyrics
- stunna girl – toxic lyrics
- og maco – hop in the coupe lyrics
- cuban doll – walk thru lyrics
- stunna girl – president lyrics
- bali baby – burg bag lyrics