ben pol – warira lyrics
Loading...
tatizo kina lake
haliln’ kanki mdomoni
taswira ya sura yake
hain’toki kichwani
mapenzi na raha zake
n+z+ miss jamani
matash+titi mahaba yake
aninyila raha ndotoni
kama shida pombe
niko tayari kuacha
aje tuyamalize
si sawa mi kuniacha
kama shida pombe
sigara naacha
aje tuyamalize
si sawa mi kuniacha
funika kombe mwana haramu apite
kosa gani kubwa lisisameheke
niambie basi j+po nijirekebishe
hii hali inatesa nitakuja nife
kama shida pombe
niko tayari kuacha
aje tuyamalize
si sawa mi kuniacha
kama shida pombe
sigara naacha
aje tuyamalize
si sawa mi kuniacha
Random Lyrics
- amerigo verardi – l’uomo di tangeri lyrics
- keisha christian – who i was tonight lyrics
- g.w.m – bűnös lyrics
- yunginlavi$h (b2br) – x ta c lyrics
- vulvodynia – eulogy of ashes lyrics
- lancey foux – time lyrics
- charles martin loeffler – the hosting of the sidhe lyrics
- fruit bats – see the world by night lyrics
- riverkinn – kill kill lyrics
- psychopomps – wonderful world lyrics