blessed paul – mimi na yesu lyrics
but god is so rich in mercy, and he loved us so much, that even though we were dead because of our sins, he gave us life when he raised christ from the dead. (it is only by god’s grace that you have been saved!) + ephesians 2:4+6
here is the first #kalpopiano (kalpop+amapiano)
the lyrics
mimi na yesu mimi na.. argh
mimina yesu mimina argh argh
mimi na yesu mimi na.. argh
mimi na yesu mimi na..
mimina yesu mimina argh
kama ni sifa tunampa yesu
maana mashida kamaliza kwetu
kama ni sifa tunampa yesu
maana mashida kamaliza kwetu
uzima wake wa milele tumeupata
mlima wake hadi kilele tumeupanda
wema wa nchi ya ahadi tumeuona
si sikama musa nchi ya ahadi tutaingia
si sikama musa nchi ya ahadi tutaingia
kama ni sifa tunampa yesu
maana mashida kamaliza kwetu +4
mimi na yesu mimi na argh
tuko wawili mimi na
mimina yesu mimina argh
baraka zako mimina..
kama magari na manyumba zinatufuata
nasema mali na mapesa zatukimbiza+2
m…tafute ufalme wa mungu kwanza
na mengine yote mtazidishiwa
mtazidishiwa mtazidishiwa
kama ni sifa tunampa yesu
maana mashida kamaliza kwetu+2
mimi na yesu mimi na argh
tuko wawili mimi na
mimina yesu mimina argh
baraka zako mimina..
Random Lyrics
- hammers of misfortune – outside our minds lyrics
- poliha – конец пути lyrics
- b dot goon – when you seen me lyrics
- olympus – that’s for cyprus lyrics
- alpha wann & kyo itachi – mon job (hologram lo’ remix) lyrics
- ziavelli – interstellar lyrics
- hadee dosani – 4am lyrics
- stars like fleas – third night, wisconsin lyrics
- zulueta – willow tree lyrics
- mathias malzieu, daria nelson – l’enfant fée lyrics