blessed paul – moyo wangu lyrics
Loading...
kuna maneno ya uzima, nimesikia
kando ya kisima, cha yakobo
kama ungalinijua mama, ungeniomba
yangu ya uzima, shida zako ni ndogo
mmmh
ayanywaye maji haya, suluhisho ya muda
ila ayanywaye ninayo toa, hataona kiu tena+2
moyo w+ngu tulia
tulia kwa bwana
usifadhaike maana
bwana yuko nawe
ona kijito cha tiririka, toka enzini
hapo kando umenipanda, daima mbichi kijani
wakati wa kuzaa na uso wa kuzaa mimi nitazaa matunda mema
nitaingia mtaa na ujube ya kuwa, nimempata hasiyebadilika
njoni nyote mnywe maji, kwa maji haya
mavazi yakifuliwa, yanatakata+2
moyo w+ngu tulia
tulia kwa bwana
usifadhaike maana
bwana yuko nawe
wakati wa kuzaa na uso wa kuzaa mimi nitazaa matunda mema
nitaingia mtaa na ujube ya kuwa, nimempata hasiyebadilika+2
Random Lyrics
- doi – panzer lyrics
- besomorph & tom enzy – run lyrics
- mamamoo – decalcomanie 2021 lyrics
- lil skele – house of cards lyrics
- mari – i waited lyrics
- rollzrois – ombre cinesi (gioielli version) lyrics
- mara tk – te kete aronui lyrics
- fast animals and slow kids – fratello mio lyrics
- robert jansen – let’s go (celebrate) lyrics
- tommy harris – die with u lyrics