bossbele – mapenzini lyrics
verse1:
mikutano ya siri, kwenye kiza kinene
hukutaka subiri, nikamate mapenny
ungeweza kukiri, mi ningejikita kwingine
umeficha… ona muziki munene
ahaa
bridge:
au hii ndo gharama, ya kukupenda wewe
mzigo wa lawama, najibebesha mwenyewe
nakutakia salama, tutakutana mbeleni
namuonea huruma, mwenzangu na mimi
chorus:
kutwa umenuna
ukiitwa unachuna
amani hakuna
mapenzi oh, mapenzi oh oh…
verse2:
hivi ulikosa nini, kutaka kwangu upewe
kama maisha uliwini, ilibaki uolewe
mabuzi wote nchini, masharobaro mjini
bado ukang’ang’ana nami, lakini kwanini…
ahaa
bridge:
au hii ndo gharama, ya kukupenda wewe
mzigo wa lawama, najibebesha mwenyewe
nakutakia salama, tutakutana mbeleni
namuonea huruma, mwenzangu na mimi..
oh oh…
chorus:
kutwa umenuna
ukiitwa unachuna
amani hakuna
mapenzi oh, mapenzi oh oh…
Random Lyrics
- guy tang – #naked 2u remix lyrics
- mobsquad nard – right ni lyrics
- jesse malin – sister christian, where are you now? lyrics
- atw – you’ll be fine lyrics
- osaka punch – livin the dream lyrics
- n’veigh – peanut butter lyrics
- pépite – les bateaux lyrics
- jesse is heavyweight – beware the food (freestyle) lyrics
- doughboy barkley – from the muscle lyrics
- dirty.r – live and die (feat. darkverse) lyrics