azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

brian simba – kama kawa lyrics

Loading...

kama kawa
chorus [brian simba]
oya huku kuna njaa!
hustle asubuhi mpaka giza
wana wanakamua kama squeezer
kama kuna raia kazubaa tunamliza
on jesus!
kila tukikaa kuna mrizla
dili tu ikitick miujiza
pisi mpaka moyo naumiza

maana huku kwetu sio sawa
hustle everyday kama kawa
hustle everyday kama kawa
maana huku kwetu sio sawa
eyy (×2)

verse 1 [brian simba]
ukipata taarifa uwaambie na wenzio
kwamba b anataka shpapi, ndinga na nyumba ina bonge la uzio
na ndio maana nipo mbio
mishe na kevo ni kuwateka masikio
halafu mi nahisi kama mmeanza kukubali, au sio?
ndiyo!
usiku ni kupiga mamtama
watoto wa mama
wanaotuoshea na vindinga kwenye jua la mchana
tunawacheki cheki sana
bwana!
kazi kutulia wasichana
night kali tutaonana na wahuni w+ngu
halafu wote wana mabandana

chorus[brian simba]
oya huku kuna njaa!
hustle asubuhi mpaka giza
wana wanakamua kama squeezer
kama kuna raia kazubaa tunamliza
on jesus!
kila tukikaa kuna mrizla
dili tu ikitick miujiza
pisi mpaka moyo naumiza

maana huku kwetu sio sawa
hustle everyday kama kawa
hustle everyday kama kawa
maana huku kwetu sio sawa
eyy (×2)

verse 2 [fredrick mulla]
hustle everyday kama kawa, nakunywa jasho langu kama dawa
mi masafi wa roho nipo clean, msafi everyday sina chawa
nafanya vitu ambavyo all you n+ggaz mkitaka kujaribu tu lazima mtapagawa
nilipewa ujinga, nikauacha ujinga, nikaamua kurap kama kawa
niko na wana wanamatairi, njoo tukufundishe kuroll
wanapumulia mipira, si bila mipira na bado we ball
magoli we score, watoto wanavutwa ni straw
mechi ikipigwa ni ushindi, hatujui kudraw
verse nikichora picasso, zako hujui kudraw

chorus
oya huku kuna njaa!
hustle asubuhi mpaka giza
wana wanakamua kama squeezer
kama kuna raia kazubaa tunamliza
on jesus!
kila tukikaa kuna mrizla
dili tu ikitick miujiza
pisi mpaka moyo naumiza

maana huku kwetu sio sawa
hustle everyday kama kawa
hustle everyday kama kawa
maana huku kwetu sio sawa
eyy (×2)

verse 3[bruky]
(bruky)niko tu sawa niko tu sawa
ka vile nina akiba m+pawa
mizuka ya kuchanganya dawa
nkizidisha mastress ntapagawa
stress ni mauchafu mi na nawa
fake it till i make it by the hour
hustle everyday kama kawa
iko siku mambo itakua sawa
dili kadhaa, uza bidhaa, nyingine za wizi alaaa
katiza mitaa, poteza masaa, wateja wanakopa balaa
mtaani madeni hayakati
kutwa nzima kutafuta hatupati
badili njia kila wakati
wasije tushika mashati



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...