d voice – zoba lyrics
kama kosa la macho
hata mkiziba msimuone
ndani ya moyo w+ngu
namuona yeye kimasomaso
wenye wivu mukome
mtaambulia matandu
solo nala na yeye
na mkisema ananichuna
ntampa mpaka bot
kama penzi taaluma
basi ye ana degree
kwake siwezi meza azuma
kitu swafi og
midomo itawanuka kwa kununa
mngetafuna hata bigijii
aaaah ye ni w+ngu mimi
mimi ni wake yeye
wengine sasa wa nini
staki nichezewe
yeye ni w+ngu mimi
mimi ji wake yeye
wengine sa wa nini
staki nichezewe
mi kwake zoba
mimi kwake zoba
mimi kwake jinga
mimu kwake jinga
mi kwake zoba
mimu kwake zoba
mimi kwake jinga
mimu kwake jinga
mmh vyandani ni siri
kanikataza nsiseme
ila ningewaambia
raha anazonipa
kunako alfajiri
anaparama mn+z+
au geme
huku tunasinzia
mpaka tunafika
alafu darling nikupe siri
mi kwako chali
moyo na mwili
kama mie gari
we ndio tahiri
usije ukaenda mbali
utanihadhiri
amina amina
na iwe kheri amina
daima daima
nkuvishe shera na hina
amina amina
na iwe kheri amina
daima daima
nkuvishe shera na hina
yeye ni w+ngu mimi
mimi ji wake yeye
wengine sa wa nini
staki nichezewe
yeye ni w+ngu mimi
mimi ji wake yeye
wengine sa wa nini
staki nichezewe
mi kwake zoba
mimi kwake zoba
mimi kwake jinga
mimu kwake jinga
mi kwake zoba
mimu kwake zoba
mimi kwake jinga
mimu kwake jinga
Random Lyrics
- deize tigrona – lsd lyrics
- geneva jacuzzi – glasskull lyrics
- joe goddard – moments die (feat. barrie) lyrics
- 東京女子流 (tokyo girls’ style) – 眩暈 (memai) lyrics
- matascoo – paralysie du sommeil +nazuna +nonewfriends! lyrics
- troyamaki – dente del giudizio lyrics
- sirmc – aç kapılarını lyrics
- ningún lugar – libre lyrics
- tome – biker lyrics
- grecas – dime lyrics