
da wyre - chuki lyrics
[intro]
na na na na na na…
na na na na na na…
na na na na na na…
na na na na na na…
[verse 1]
ni sababu gani mwanitenda hivi
uwongo mwanena kunihusu mimi
hamnifahamu hamjui
chenye nafanya maishani
mw+ngu nyumbani
mw+ngu nyumbani
mijidai eti nyie marafiki
k+mbe nia zenu zilikuwa kundi
kunitenganisha na mpenzi
wa roho yangu na kuniacha
mashakani, taabani
[hook]
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
[verse 2]
mambo yenu mi sishughuliki nayo
mnavyoishi mimi sina hoja nayo
kinachonihusu si lazima
mkifahamu na kushinda
mkipiga domo
mkipiga domo
mlichotenda kw+ngu kweli hakifai
kiw+ngo cha unchungu mlinipa yaani
sina heshima kwenu tena
ukuta wa chuki mlijenga
kati mi nanyi
kati mi nanyi
[hook]
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
[bridge]
na na na na na na…
ni shida kuamini yaani
na na na na na na…
kiw+ngo cha uchungu mlionipa
na na na na na na…
heshima kwenu mimi sina tena
na na na na na na…
basi chuki ndio mimi nahisi
[hook]
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
Random Lyrics
- snuff - tumba de tulipanes lyrics
- jjgsmac - starlight lyrics
- yms cozy - handshakes lyrics
- slava marlow - вот так-то (like this) lyrics
- vic rippa - lil company lyrics
- kiss - raise your glasses (collectors version) lyrics
- katya ryabova - маленький принц (malenkiy prints) lyrics
- jewel - grateful lyrics
- peacelover music - ucheyan pahadan vich lyrics
- puddah - call blanco lyrics