da wyre – chuki lyrics
[intro]
na na na na na na…
na na na na na na…
na na na na na na…
na na na na na na…
[verse 1]
ni sababu gani mwanitenda hivi
uwongo mwanena kunihusu mimi
hamnifahamu hamjui
chenye nafanya maishani
mw+ngu nyumbani
mw+ngu nyumbani
mijidai eti nyie marafiki
k+mbe nia zenu zilikuwa kundi
kunitenganisha na mpenzi
wa roho yangu na kuniacha
mashakani, taabani
[hook]
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
[verse 2]
mambo yenu mi sishughuliki nayo
mnavyoishi mimi sina hoja nayo
kinachonihusu si lazima
mkifahamu na kushinda
mkipiga domo
mkipiga domo
mlichotenda kw+ngu kweli hakifai
kiw+ngo cha unchungu mlinipa yaani
sina heshima kwenu tena
ukuta wa chuki mlijenga
kati mi nanyi
kati mi nanyi
[hook]
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
[bridge]
na na na na na na…
ni shida kuamini yaani
na na na na na na…
kiw+ngo cha uchungu mlionipa
na na na na na na…
heshima kwenu mimi sina tena
na na na na na na…
basi chuki ndio mimi nahisi
[hook]
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
Random Lyrics
- lomé – encore et toujours (feat. senar) lyrics
- distant ✞ – full of lies lyrics
- omar_wanda – dmagh msadya.-.دماغ مصدية lyrics
- keite arai & lucky luke – lay me down lyrics
- kontu – saint laurent lyrics
- shane & shane – be thou my vision (lord you are) lyrics
- mikhail smirnov – мечта (dream) lyrics
- lil meq – no cap lyrics
- jimmy steve – we praise lyrics
- snuff – tumba de tulipanes lyrics