azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

demi alicia – naamini lyrics

Loading...

demi alicia lyrics

intro
naamini, naamini

verse 1
ni asubuhi na mapama
naamka kwenda kutafuta
riziki wala sina muda

sina mali wala nyumba
nakodi hata kwa vibanda
naamini siku itafika

bridge
maana kuna muda
maji yan+z+di unga
n+z+di k+mwomba mumba
kikombe hiki anitolee

kuna wakati wa suna
wala sioni hata mvua
ipo siku mi najua
siku yangu itafika
chorus
naamini
naamini
naamini
naamini

verse 2
nashkuru mama
kwakunilea
j+po mwanitegemea
niombeeni

nitang’ang’ana saana
uf+kara usije tupata
tununue kashamba
tujenge nyumba
na tufuge vibata

na nimelala hoi
kisha naamka
wala hata sikomi
kucha natafuta
nikipata sawa
nikikosa sawa
bridge
maana kuna muda
maji yan+z+di unga
n+z+di k+mwomba mumba
kikombe hiki anitolee

kuna wakati wa suna
wala sioni hata mvua
ipo siku mi najua
siku yangu itafika

chorus
naamini
naamini
naamini
naamini



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...