diamond d – mawazo lyrics
(chorous)
ningekuwa na uwezo ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo,maana mchana kutwa hata usiku silali mapenzi kw-ngu kikwazo
(ve-rs- one)
sikujua mapenzi balaa tena ni maladhi ya moyo kupendaga…
tena mapenzi karaha yanajenga chuki na choyo kwenye kava…
utu w-ngu unathamani inamaana kweli hakuvijua!
licha ya burudani namapenzi yangu akayatimua
utu w-ngu unathamani inamaana kweli havijuaa!
mmmh! licha ya burudani ndani akaamua kutimuaah! (inauma sana)
(chorous)
ningekuwa na uwezo ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo,maana mchana kutwa hata usiku silali mapenzi kw-ngu kikwazo. (rudia kuimba mara mbili)
verse2
ona jini kisirani kaingia kwenye utamu wa penzi langu
ameleta tafarani naumia nalia na moyo w-ngu…
ona jini kisirani kaingia kwenye utamu wa penzi langu
ameleta tafarani mwenzenu nalia na moyo w-ngu
kweli wivu me ninao na roho yangu inaumiaa
kweli wapenda nao ndo maadui zikitimia!
lile tunda langu la mara leo limekuwa sumu kw-ngu
ona tena sina raha me nacheka nalia na moyo w-ngu
Random Lyrics
- eric cross – tension lyrics
- elvis costello – i’m in the mood again lyrics
- voxxclub – oben aufm berg lyrics
- docchakra – unbenounced to me lyrics
- parken – uppsalas gränder lyrics
- weaving the fate – fading star lyrics
- tássia reis – meu rapjazz lyrics
- d.a.m.a. – balada do desajeitado lyrics
- 3robi – negra lyrics
- plies – me love (remix) lyrics