azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

diamond platnumz – kamata lyrics

Loading...

s2kezzy baby

kamata, kamata, kamatika, kamata

kamata, kamata, mpaka chini, kamata
kamata, kamata, kamatika, kamata
kamata, kamata, mpaka chini, kamata

kamata, kamata, kamatika, kamata
kamata, kamata, mpaka chini, kamata
kamata, kamata, kamatika, kamata
kamata, kamata, mpaka chini, kamata

kamata kiuno, kamata bega
kamata kichwa ka ndoo unabeba
kamata kimini chalegalega
wooh! maana chashuka chini unanitega

aah! mah! yaleo kiboko
mwali kanipa nyama kwa kisamvu cha kopo
aah! ng’a! komesha toto
nami naleta nyundo nimtw+nge kokoto

nasema kamata, kamata, kamatika, kamata
kamata, kamata, mpaka chini, kamata
kamata, kamata, kamatika, kamata
kamata, kamata, mpaka chini, kamata

kamata, kamata, kamatika, kamata
kamata, kamata, mpaka chini, kamata
kamata, kamata, kamatika, kamata
kamata, kamata, mpaka chini, kamata

eeeh! kama gari ile vuum vuum (vuum vuum)
mtoto mkali mchum mchum (mchum mchum)
ikiwa ngangali ile ngumu ngumu (ngumu ngumu)
nenda kamchinjie mbali kwa room room

sa twende kamata
kama unaisakata nyumba kwa bambata ile kinoma
tegeta, tabata fanya unaifatata
za mbuzi kakataa, amegoma aaii!

kati kati, chini chini, kamata
kasi kasi, speed 120, kamata
eeeh! kama unamenya ndizi, kamata
police anashika mwizi, kamata

aah! mah! yaleo kiboko
mwali kanipa nyama kwa kisamvu cha kopo
aah! ng’a! komesha toto
nami naleta nyundo nimtw+nge kokoto

nasema kamata, kamata, kamatika, kamata
kamata, kamata, mpaka chini, kamata
kamata, kamata, kamatika, kamata
kamata, kamata, mpaka chini, kamata

kamata, kamata, kamatika, kamata
kamata, kamata, mpaka chini, kamata
kamata, kamata, kamatika, kamata
kamata, kamata, mpaka chini, kamata

ka mix lizer



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...