azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

diamond platnumz – mapenzi basi lyrics

Loading...

[intro]
(a+a+a, am records)
this is crazy
but, i just wanna tell you
how badly my heart is breaking
this is absolutely painful for me to say
‘d+mn’

[chorus]
mi mwenzenu tena basi
oh, mapenzi sitaki
oh, mwenzenu tena basi
basi
sitaki
mi mwenzenu tena basi
oh, mapenzi sitaki
oh, mwenzenu tena basi
basi
sitaki
[verse 1]
yalinifanya nikaugua
mara napanga napangua
mwili ukakonda nikapungua
ah, sikulala (sikulala)
oh, maradhi nikaugua, oh oh
yakanichoma na kuungua roho
kutwa nawaza na kuwazua
sikulala…

[pre+chorus]
eh
haya mapenzi bwana
hayana maana
yalinifanya mi nichekwe
sababu yake nsh+gombana
nikatukanwa
lakini akanipiga teke
aiih
haya mapenzi bwana
hayana maana
yalinifanya mi nichekwe
sababu yake nsh+gombana
nikatukanwa
iye
[chorus]
mi mwenzenu tena basi
oh, mapenzi sitaki
oh, mwenzenu tena basi
basi
sitaki
mi mwenzenu tena basi
oh, mapenzi sitaki
oh, mwenzenu tena basi
basi
sitaki

[verse 2]
oh, nilish+gombana na mama mzazi
akataka nimwagia radhi
sababu yule fulani
yule wa moyo w+ngu
yakaleta zengwe kwa kazi
ugomvi wa simba na panzi
vurugu kwa majirani
ah, e mola yangu

[pre+chorus]
eh
haya mapenzi bwana
hayana maana
yalinifanya mi nichekwe
sababu yake nsh+gombana
nikatukanwa
lakini akanipiga teke
aiih
haya mapenzi bwana
hayana maana
yalinifanya mi nichekwe
sababu yake nsh+gombana
nikatukanwa
iye
[chorus]
mi mwenzenu tena basi
oh, mapenzi sitaki
oh, mwenzenu tena basi
basi
sitaki
mi mwenzenu tena basi
oh, mapenzi sitaki
oh, mwenzenu tena basi
basi
sitaki



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...