dollar lossa – utamu wangu lyrics
macho yana kazi gani, nikikosa kukuona
moyo w+ngu taabani, mwili unapatwa na homa
wewe beibee, weewe beibeee…
umenishiika maini siyo masihara
una mapeenzi ya pwani mpka na ya bara
haaa beibee, weewe beibeee…
sasa nimepoona, sina hofu teena
wewe mwenye huruma, ntakupenda daima
sasa nimepoona, sina hofu teena
wewe mwenye huruma, ntakupenda daima
ouh! wouh! woooh! we utamu waangu
ouh! wouh! woooh! we utamu waangu
nitakupa ya moyoni, we utamu waangu
nawewe unipe ya moyoni, we utamu waangu
nanitakutunza kama mboni, we utamu waangu
nawe unitunze kama mboni, we utamu waangu
watakuja wenye mali, wenye nyumba na magari
hao ni wadanganyifu, usinishushe daraja
unipende kweli kweli, j+po kapuku wa hali
ntakupenda mara dufu, hutoikosa faraja
sasa nimеpoona, sina hofu teena
wewe mwenyе huruma, ntakupenda daima
sasa nimepoona, sina hofu teena
wewe mwenye huruma, ntakupenda daima
ouh! wouh! woooh! we utamu waangu
ouh! wouh! woooh! we utamu waangu
nitakupa ya moyoni, we utamu waangu
nawewe unipe ya moyoni, we utamu waangu
nanitakutunza kama mboni, we utamu waangu
nawe unitunze kama mboni, we utamu waangu
wanimaliza, wanimaliza
beiby wanimaliza, wanimaliza
ukinishika huku, wanimaliza
ukinipiga busu we, wanimaliza
we nikila kitu, wanimaliza
moyo w+ngu uchukue, wanimaliza
mpaka juu, mpaka juu, mpaka juu, mpaka juu, wanimaliza
mpaka juu, mpaka juu, mpaka juu, mpaka juu jama, wanimaliza
Random Lyrics
- squeaky galactic & alvindarappa – 2 am lyrics
- sinan sakić – hoću da imam sve lyrics
- 3ab3az – عبعظ – asly ya asly – اصلي يا اصلي lyrics
- abou tall – systeme solaire lyrics
- flo milli – d’s lyrics
- surfistas del sistema – amarrados lyrics
- wookiefoot – just visiting lyrics
- the phantom (houston newsome) – chasing sunsets lyrics
- newgen.pt – ambição lyrics
- sharon cuneta – sa kanya lyrics