azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

don santo – nifundishe lyrics

Loading...

stanza 1:
usinambie, kwa namba za huzuni;
life is but an empty dream!
kwani, nafsi ilolala ni hayati;
and things are not what they seem
bila shaka utasimama;
mumea ulopandwa kwa mto
siku yako itafika;
majani mabichi utalazwa
kuwa na roho, moyo, sura kama simba;
ipige moyo konde ufwate mwito

chorus:
nifundishe! niongoze!
kukujua wewe hekima baba!
would you be my guide my father lord

stanza 2:
waweza kuwa, yeyote unayependa;
bora uwe mwaminifu kwa rabana
there’s no shame! dontchu fear my friend;
hakuna dhambi hawezi ifuta
bila shaka una neema;
mumea ulopandwa kwa mto;
kama mlima sing’oki;
majani mabichi hunilaza
kuwa na ujanja, ari, macho kama tai;
kuwa nayo nayo, sako kwa bako

chorus
nifundishe! niongoze!
kukujua wewe hekima baba!
would you be my guide my father lord



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...