don santo – nifundishe lyrics
stanza 1:
usinambie, kwa namba za huzuni;
life is but an empty dream!
kwani, nafsi ilolala ni hayati;
and things are not what they seem
bila shaka utasimama;
mumea ulopandwa kwa mto
siku yako itafika;
majani mabichi utalazwa
kuwa na roho, moyo, sura kama simba;
ipige moyo konde ufwate mwito
chorus:
nifundishe! niongoze!
kukujua wewe hekima baba!
would you be my guide my father lord
stanza 2:
waweza kuwa, yeyote unayependa;
bora uwe mwaminifu kwa rabana
there’s no shame! dontchu fear my friend;
hakuna dhambi hawezi ifuta
bila shaka una neema;
mumea ulopandwa kwa mto;
kama mlima sing’oki;
majani mabichi hunilaza
kuwa na ujanja, ari, macho kama tai;
kuwa nayo nayo, sako kwa bako
chorus
nifundishe! niongoze!
kukujua wewe hekima baba!
would you be my guide my father lord
Random Lyrics
- dudu – limbo lyrics
- anje uno – all the things lyrics
- oceanwalk – back in reverse lyrics
- marces – cuestión de tiempo lyrics
- krum & theory hazit – barcelona lyrics
- hindia – evaluasi (reprise) lyrics
- lil teex (лил тикс) – я ебал школу lyrics
- the beauty of gemina – one million stars lyrics
- sir_nxkxxwill – oulady lyrics
- vlone goat – tropical beach lyrics