don santo – subiria lyrics
moyo wa upole, sina tena wak-muita baby;
kama kuwa mbali, itafanya nikukose mimi, nanana;
ushahidi wakushuta;
harufu basi itabaki kwako;
maadili mulonipa, ipo;
afadhali ungekuja ujionee;
ama tuma picha nipone;
hata gari kweli lijae vipi;
dereva hawezi kosa kiti;
kwani mama yo my barrister;
my shining star;
my holy life giver;
papa yo my wisdom guide;
my hero and a soldier man
ni venye mupo mbali nami;
na venye nawamisi yaani;
na afrika nitarudi tena;
na kenya nitarudi kisha.
karibuni nitarudi mama, ngoja
subiri papa nitarudi nyumbani, ngoja
i miss you bad, i miss you here, i miss you nana nana nana
karibuni nitarudi mama, ngoja
subiri papa nitarudi nyumbani, ngoja
i miss you bad, i miss you here, i miss you nana nana nana
toa wasi wasi, baby [take it ] easy;
hebu weka subra, tutaonana kwani nak-misi;
naona ni mateso every day, wowo;
kuonana kukicha kwa facebook nonono;
ahadi nilokupa nimeiweka, tata;
mpenzi siskize wa twitter;
jamani namisi tu home;
ugali wamuogo na miwa kibao;
siwezi lenga ukweli, kl-ssik ni big thing all praises to god;
forever yo my only hope, my heart and soul;
i miss you my darling;
namenya niko fiti na u vipi kaka?
i misss you like crazy
ni venye mupo mbali nami;
na venye nawamisi yaani;
na afrika nitarudi tena;
na kenya nitarudikisha.
karibuni nitarudi mama, ngoja
subiri papa nitarudi nyumbani, ngoja
i miss you bad, i miss you here, i miss you nana nana nana
karibuni nitarudi mama, ngoja
subiri papa nitarudi nyumbani, ngoja
i miss you bad, i miss you here, i miss you nana nana nana
Random Lyrics
- laoise – bother lyrics
- the katherines – tomorrow lyrics
- salt ashes – raided lyrics
- lil tracy – in dis bih lyrics
- sammy flash feat. spitakci hayko – alla yar lyrics
- lil tracy – prom queen lyrics
- arizona zervas – coming up lyrics
- florent pagny – on n’oublie pas d’où l’on vient lyrics
- the spinners – love has gone away lyrics
- park kyung (block b) – gwichanist (귀차니스트) lyrics