dr xolly – dr xolly-sitaki nataka official lyrics lyrics
yeeeahh
(dr xolly)
….smb…..(starbeats)
verse 1
hakuna utata nikila bata najua kila kona mi nanata nawee
nikizipata unanifata najua kila sekta nadunda nawee..wewee
uliyefanya niitwe mfalme,pendo lako kwa dakika kw-ngu karne
ukija na baridi la ukame,kwanza unavyonukia sitaki mi nihame
mpaka mahari natoa posho…natoa posho
we ndo mwali binti kisosho…binti kisosho
ukiwa mbali am not confidential…not confidential
bado natafakari na kesho..kesho..kesho
chorus
utanipenda kama sitaki nataka…kama sitaki nataka
nitakupenda vile kama sitaki nataka…kama sitaki nataka
utanipenda pia kama sitaki nataka…kama sitaki nataka
verse 2
mrembooo njoo tujenge malengoo
fundi wa mahaba fundi wa mijengo
mi malaya un-z-sikia hizo skendo
baba la mababa baada ya kufanya tendo
unapokaa unapoishi mi siwazi
kwenye vigodoro au mitaa ya uswazi
niletee ma shost hata kama majambazi
piga wote risasi mi ndo kama baba mzazi
nizalie watoto watoto kila uhuni
kw-ngu iwe changamoto moto bila kuni
mi ndo mbunifu mwenye mbinu za kubuni
mapenzi yapo kwako nimeachana na sabuni
bridge
(chorus)
Random Lyrics
- deadeye – spring hollow lyrics
- marissa nadler – you’re only harmless when you sleep lyrics
- joel plaskett emergency – there’s love in the air lyrics
- acequared – no light weights lyrics
- temsilci – uvercinka lyrics
- trellion & sniff – no try lyrics
- carving colours – martyr lyrics
- the enemy (uk) – it’s automatic lyrics
- мальбэк (malbec) – духи (perfume) lyrics
- yumi zouma – powder blue/cascine park lyrics