azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

dully sykes – tamika lyrics

Loading...

[chorus]
rudi nyumbani, tamika
kwani watoto wanateseka, aah
nikik+mbuka tuliko toka
roho yangu ina sononeka, aah
oh+oh
rudi nyumbani, tamika
kwani watoto wanateseka, aah
nikik+mbuka tuliko toka
roho yangu ina sononeka, aah
oh+oh

[verse 1]
yapata mwaka, miezi
tangu utoroke nyumbani mpenzi
watoto wamekosa malezi
sababu yako, tamika mpenzi
oh+oh

[verse 2]
naomba piga j+po simu
unieleze unapo ishi, eh,eh
uchangamfu na ucheshi
hii wako sasa ni simulizi
oh+oh
[verse 3]
watoto w+n+lia njaa
na baba yao sina hata kazi
eh+eh
nitakuja kupata uchizi
sababu yako tamika mpenzi
rudi nyumbani

[chorus]
rudi nyumbani, tamika
kwani watoto wanateseka, aah
nikik+mbuka tuliko toka
roho yangu ina sononeka, aah
oh+oh
rudi nyumbani, tamika
kwani watoto wanateseka, aah
nikik+mbuka tuliko toka
roho yangu ina sononeka, aah
oh+oh

[verse 4]
walimwengu sina furaha
na ishi kwa taabu na karaha
ah+ah
naimba huku nasononeka
kwa mambo aliyo yafanya tamika
oh+ooh
[verse 5]
uzuri wake akicheka
nikimk+mbuka na huzunika, ah, ah
sina hata la kufanya
au sababu mimi sina pesa?
oh+oh

[verse 6]
moyo w+ngu unadunda
ni jinsi gani ninavyo kupenda
wazazi wako hawajui
pahali gani ulipo kwenda
oh+ooh

[verse 7]
hebu tamika kwanza k+mbuka
huku nyumbani umeacha watoto, oh
na mimi mzazi mwenzako
na kufikiria wewe uliko
rudi nyumbani

[chorus]
rudi nyumbani, tamika
kwani watoto wanateseka, aah
nikik+mbuka tuliko toka
roho yangu ina sononeka
oh+oh
rudi nyumbani, tamika
kwani watoto wanatesеka, aah
nikik+mbuka tuliko toka
roho yangu ina sononeka
oh+oh
[outro]
yeah (?), dully sykes
tamika rudi, ‘dully anakutafuta, wacha k+mtеsa
mombasa, ‘nimemtafuta
kampala, ‘nimemtafuta
nairobi, ‘nimemtafuta
tamika, nimemkosa
mombasa, ‘nimemtafuta
kampala, ‘nimemtafuta
nairobi, ‘nimemtafuta
tamika, nimemkosa
mombasa, ‘nimemtafuta
kampala, ‘nimemtafuta
nairobi, ‘nimemtafuta
tamika, nimemkosa



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...