![azlyrics.biz](https://azlyrics.biz/assets/logo.png)
elani - barua ya dunia lyrics
[verse 1: brian chweya]
hujambo salam dunia
ni siku nyingi hatujaongea
hizi enzi
mbona huna penzi
[wambizzy]
nimekuandikia barua
ningeweza ningekupigia
geti kali, inalia
machozi ya sifa
[hook]
usinilenge, juu siku moja nitakulenga pia
usinicheke, juu siku moja nitakucheka pia
bobea bobea, bobea bobea
ngojea nita bobea pia
bobea bobea, bobea bobea
ngojea nitabobea pia
[verse 2]
sina mengi ya kusimulia
ila tu ni barua ya dunia
aaaahh… barua..
mashinani w-n-lia lia
umri ndio huo, uzee unaingia
sina fedha, hisia wala njia eh
ya kujitafutia
nikimalizia barua, geti kali uwe na huruma
mraia -n-lia, machozi ya simba
[hook]
[bridge]
sina mengi ya kusimulia..
barua ya dunia…
mbona hukunijalia, dunia….
[hook]
[outro: brian chweya]
sina mengi ya kusimulia
barua ya dunia, barua….
Random Lyrics
- charlie puth - go round lyrics
- lea salonga w/ brad kane - we could be in love lyrics
- bare egil band - ®39 lyrics
- lil wolfie - mechanic lyrics
- young luke - hotel lyrics
- brian culbertson - itis time lyrics
- yourwelcome - maxxed out lyrics
- the mob 03 - higher lyrics
- esperanza spalding - funk the fear lyrics
- kid kapichi - 2019 lyrics