elani – barua ya dunia lyrics
[verse 1: brian chweya]
hujambo salam dunia
ni siku nyingi hatujaongea
hizi enzi
mbona huna penzi
[wambizzy]
nimekuandikia barua
ningeweza ningekupigia
geti kali, inalia
machozi ya sifa
[hook]
usinilenge, juu siku moja nitakulenga pia
usinicheke, juu siku moja nitakucheka pia
bobea bobea, bobea bobea
ngojea nita bobea pia
bobea bobea, bobea bobea
ngojea nitabobea pia
[verse 2]
sina mengi ya kusimulia
ila tu ni barua ya dunia
aaaahh… barua..
mashinani w-n-lia lia
umri ndio huo, uzee unaingia
sina fedha, hisia wala njia eh
ya kujitafutia
nikimalizia barua, geti kali uwe na huruma
mraia -n-lia, machozi ya simba
[hook]
[bridge]
sina mengi ya kusimulia..
barua ya dunia…
mbona hukunijalia, dunia….
[hook]
[outro: brian chweya]
sina mengi ya kusimulia
barua ya dunia, barua….
Random Lyrics
- musicbybrandon – 5 am lyrics
- onesidezero – breath lyrics
- tv show soundtracks – music from the vampire diaries lyrics
- shola ama – you might need somebody – di classic radio mix lyrics
- el mini – blue (sweet n sour) lyrics
- fairground saints – until then lyrics
- anonymus – chaque seconde compte lyrics
- chief keef – freak lyrics
- wildante noah raschadito – nobody lyrics
- lx & maxwell – jeden tag lyrics