elani – hapo zamani lyrics
[verse 1: wambizzy]
rauka jamaa, k-mekucha
miaka k-mi na sita, kidato cha kwanza
pokea salam, siku mpya
insyder za kwanza, zasifiwa boma
kaipokea tetesi, mwaja shule ni wikendi
barua uliyoituma imeshasoma na
sijaweza kupumua, moyo wangu waridhika
sijaweza kupumua
[hook]
hapo zamani nikajua ningekuoa
hapo zamani ukiambiwa
unapendwa, waamini
ukipendwa, una imani
[verse 2: maureen]
nilikuwaza sana michana kutwa
wewe suk-ma mimi ugali wishwa
na tulipendana kinyama
nikaipokea tetesi, una mwingine
akula mishikaki, aishiye kifahari
mi sikuweza kupumua, moyo wangu kavunjika
sikuweza kupumua
[hook]
[verse 3: brian chweya]
sikujua, miaka k-mi na sita
siyo miaka, ya kuelewa dunia
sikujua, miaka k-mi na sita
siyo miaka, ya kuelewa mahaba
woyoooo
woyoooo
[hook]
Random Lyrics
- rihanna – don’t stop the music (jody den broeder radio edit) lyrics
- clay maskin – old soul lyrics
- tiga maine – without you lyrics
- ronnie milsap – she even woke me up to say goodbye lyrics
- cloud boat – hideaway lyrics
- millonario y w. corona – extasis lyrics
- lana delina – devils chance lyrics
- nazar – intro (irreversibel) lyrics
- molly burch – torn to pieces lyrics
- louis goldwater – supervision lyrics