eric wainaina – daima lyrics
[mstari 1]
umoja ni fahari yetu
undugu ndio nguvu
chuki na ukabila
hatutaki hata kamwe
lazima tuungane, tuijenge nchi yetu
pasiwe hata mmoja
anaetenganisha
[chorus]
naishi, natumaini
najitolea daima kenya
hakika ya bendera
ni uthabiti w-ngu
nyeusi ya wananchi na nyekundu ni ya damu
kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
daima mimi mkenya
mwananchi mzalendo
[mstari 2]
kwa uchungu na mateso
kwa vilio na uzuni
tulinyakuliwa uhuru
na mashujaa wa zamani
hawakushtushwa na risasi
au kufungwa gerezani
nia yao ukombozi kuvunja pingu za ukoloni
[chorus]
naishi, natumaini
najitolea daima kenya
hakika ya bendera
ni uthabiti w-ngu
nyeusi ya wananchi na nyekundu ni ya damu
kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
daima mimi mkenya
mwananchi mzalendo
[daraja]
wajibu wetu
ni kuishi kwa upendo
kutoka ziwa mpaka pwani
kaskazini na kusini
[solo]
[chorus]
naishi, natumaini
najitolea daima kenya
hakika ya bendera
ni uthabiti w-ngu
nyeusi ya wananchi na nyekundu ni ya damu
kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
daima mimi mkenya
mwananchi mzalendo
[mwisho]
kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
daima mimi mkenya
mwananchi mzalendo
Random Lyrics
- peter malick & norah jones – heart of mine lyrics
- bucovina – raul vremii lyrics
- dżem (band) – kiepska gra lyrics
- slim lean – one that i want lyrics
- tre capital – bear the burden lyrics
- belanova – mariposas (capri remix) lyrics
- da$h – yeah so… (part deux) lyrics
- feltzpreviews – russian roulette lyrics
- fabri fibra – lascia un segno lyrics
- breeze – l.a. posse lyrics